Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EPL, EFL na PFA kuwapa nafasi makocha weusi (BAME)

Jumanne , 30th Jun , 2020

Ligi kuu ya soka England pamoja na kombe la ligi nchini humo (EFL) kwa kushirikiana na chama cha wachezaji wa kulipwa (PFA), wamekuja na mpango wa kuboresha uwezo kwa makocha weusi, wenye asili ya Asia na wanaotoka nchi nyingine ambazo hazijapiga hatua kwenye soka.

Nembo za Premier League, PFA na EFL

Kwa mujibu wa kocha wa klabu ya Doncaster Rovers ambaye ni mshauri wa mpango maalumu wa watu weusi kwenye Premier League, Darren Moore amesema utaratibu huo utaanza msimu ujao wa 2020/2020.

Utaratibu kamili wa mpango huo kwa msimu ujao ni kuwapa nafasi makocha sita wanaotoka kwenye nchi za (BAME), kujumuika kwenye benchi la ufundi msimu mzima kwenye vilabu kadhaa vinavyoshiriki kwenye Kombe la Ligi (EFL).

Hadi sasa ni makocha 6 tu wanaotoka nchi za BAME ambao wanafundisha kama makocha wakuu katika vilabu 91 vya Premier League na EFL, hivyo lengo la mpango huo ni kuongeza idadi.

Kocha wa Wolverhampton Wanderers F.C Nuno Espirito Santo ndio kocha pekee anayewakilisha watu weusi, Asia na minority ethnic (BAME) kwenye Premier League.

VIGEZO NA MASHARTI

Mpango huo ambao unafadhiliwa na Chama cha soka England (FA) pamoja na PFA, unamtaka kocha awe na leseni B ya ukocha inayotambulika na shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA).

Pia kocha anayeomba kuingia kwenye mpango huo anatakiwa kuwa tayari ameshaanza kushughulika na mafunzo ya kupata leseni A ya ukocha ya UEFA.

Pia awe ameshiriki (FA Advanced Youth Award) na kupitia majaribio kadhaa katika vilabu tofauti tofauti. 

Aidha Mtendaji kuu wa Premier League Richard Masters amesisitiza kuwa mpango huu ni fursa kwa makocha kupata nafasi zaidi za ajira.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu