Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Etienne Ndayiragije awatisha wababe wa Simba

Jumatatu , 15th Jul , 2019

Kocha Mkuu wa klabu ya Azam FC, Mrundi Etienne Ndayiragije amewazungumzia wababe wa Simba katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, TP Mazembe kuelekea mchezo wa robo fainali ya michuano ya Kagame inayoendelea nchini Rwanda.

Kocha Etienne Ndayiragije

Ndayiragije amesema kuwa awali hawakujipanga dhidi yao lakini baada ya ratiba kubadilika jana, ambapo hivi sasa watavaana na mabingwa hao mara tano wa Klabu Bingwa Afrika, akiwapa onyo kuwa Azam FC imejipanga kutetea ubingwa.

"Mabadiliko ya mchezo kwetu hayakutusumbua, tulikuwa tayari kuvaana na yeyote kwa sababu timu zote tumeziona kwahiyo tuko tayari kushindana nao. Nina wachezaji ambao wamechanganyika na vijana wadogo, kwa pamoja wataleta kitu katika michuano", amesema Ndayiragije.

TP Mazembe na Azam FC zitacheza mchezo wa robo fainali ya kombe la Kagame kesho, Julai 16, ukifuatiwa na mchezo wa KCCA na Rayon Sports, APR FC na AS Maniema, huku mchezo wa mwisho ukiwa kati ya Gor Mahia na Green Eagles.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava