Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu sababu za KMC kuitoa AS Kigali CAFCC

Jumatatu , 19th Aug , 2019

Kuelekea mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya KMC dhidi ya AS Kigali, klabu ya KMC inazo sababu za kuitoa timu hiyo ya Rwanda.

KMC

Usajili bora waliofanya ni moja ya sababu zinazoipa nafasi timu hiyo kufanya vizuri, wakiwa nyumbani baada ya kupata sare mjini Kigali.

KMC imewasajili wachezaji wazoefu na wenye uwezo kama mfungaji bora wa Mwadui msimu uliopita, Salim Aiyee, Ramadhani Kapera  Ndanda, Vitalis Mayanga, Jean Mugiraneza na Kenny Ally.

Uwepo wa kocha mzoefu raia wa Uganda, Jackson Mayanja. Kocha huyo amewahi kutengeneza timu kama Kagera Sugar zikawa tishio lakini pia amewahi kuifundisha Simba hivyo ana nafasi kubwa ya kuendelea kuifanya KMC kuwa timu bora.

Sababu nyingine inayoweza kuwapa matokeo mazuri KMC ni sare yao ugenini, ambapo nyumbani wanahitaji ushindi wa aina yoyote ili kusonga mbele.

Uongozi madhubuti wa KMC chini ya Meya wa Manispaa ya Kinondoni Benjamin Sitta, umeonesha kuwa na mipango endelevu ikikumbukwa kuwa wakiwa katika msimu wao wa kwanza tu kwenye ligi kuu, wamefanikiwa kumaliza katika nafasi ya nne na pia kufanya usajili mzuri kwaajili ya msimu ujao.

KMC itakuwa mwenyeji wa AS Kigali wikiendi hii, ambapo itatakiwa kushinda ili kusonga mbele katika michuano ya Kombe la shirikisho.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava