Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Feitoto awahakikishia ubingwa wananchi

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Kiungo Feisal Salum amewaondoa presha mashabiki wa Yanga na kuwaomba waendelee kuiombea timu yao kwenye mbio za Ubingwa msimu huu.

Feisal aliyefunga bao pekee, Wananchi tukishinda 1-0 mbele ya Prison, amekiri kuwa Ligi msimu huu ni ngumu kutokana na ratiba kuwa na mechi za karibu mfululizo lakini kwa nguvu za mashabiki, wao watapambana kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wake.

“Ligi msimu huu ni ngumu sana. Mbali na wapinzani kuimarika zaidi, ratiba pia imekuwa ikitubana sana.

“Sisi wachezaji tunatambua jukumu letu ni kupambana kuhakikisha timu yetu inatetea ubingwa, hivyo niwaombe mashabiki wa Yanga kuendelea kutuombea na kuisapoti timu yao katika kipindi hiki,” amesema  Feisal.

Yanga itashuka kwenye uwanja wa Majaliwa, siku ya Jumatano kuvaana na Namungo FC ukiwa ni mchezo wa kiporo kwa Yanga kukamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava