Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Game ya kwanza fainali, Mchenga watakata kiugumu

Ijumaa , 4th Oct , 2019

Mchezo wa kwanza kati ya mitano ya fainali, Sprite Bball Kings 2019 umechezwa leo katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay na kushuhudiwa burudani kali  na ya kutosha kutoka kwa Mchenga Bball Stars na Tamaduni.

'Game' ya kwanza, Fainali ya Sprite Bball Kings 2019

Matokeo ya mchezo huo, Mchenga Bball Stars wameibuka na ushindi wa vikapu 122 dhidi ya 121 vya Tamaduni. Baraka Sadick wa Mchenga akiongoza kwa kufunga pointi 47, rebounds 3 na assists 3.

Pia katika mchezo huo, imeshuhudiwa burudani kali kutoka kwa mastaa kadhaa wa Bongo Fleva, akiwemo Moni, Country Boy na Amber Lulu, ambao walitoa burudani kwa mashabiki waliofurika kushuhudia mchezo wakati wa mapumziko.

Mchezo huo ni wa kwanza kati ya michezo mitano ambayo inatarajia kupigwa na endapo Mchenga atashinda michezo miwili ijayo itashinda ubingwa huo, lakini matokeo yakiwa tofauti, italazimika kupigwa michezo mitano.

Ratiba ya fainali itaendelea wikiendi hii ambapo mchezo wa pili utapigwa Jumapili, Oktoba 6 katika Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava