Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinachomvutia Gnako kwenye Sprite Bball Kings 2019

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Msanii wa kundi la Weusi, Gnako 'Warawara', leo amefunguka kitu kinachomvutia kwenye msimu huu wa mashindano ya Sprite Bball King's ambayo yameandaliwa na East Africa Television na East Africa Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite.

Msanii wa Weusi, Gnako

Akizungumza na  EATV & EA Radio Digital, Gnako amesema amefarijika na maandalizi ya msimu huu na yeye ni miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa mchezo wa mpira wa kikapu na amehudhuria mechi nyingi za mchezo huo lakini ameeleza masikitiko yake juu ya kutelekezwa kwa vipaji vinavyozalishwa.

"Nafuatilia sana mchezo wa 'Basketball', nilishapata bahati ya kwenda kwenye mashindano navutiwa kuona kama kuna vipaji, isipokuwa kinachoniumiza baadaye vile vipaji vinakuwa havina muendelezo baada ya kufanyika mashindano", amesema Gnako.

Aidha msanii huyo ameendelea kueleza kwamba "nafikiri kitu kizuri kiwepo baada ya mashindano ya Sprite Bball Kings,  bora kungekuwa na ligi au vitu ambavyo vinakuwa vinaendelea kutokea baada ya mashindano kwa sababu vipaji vikishapatikana vinakuwa vinaeleaelea". 

Ufunguzi wa mashindano hayo utafanyika kesho Jumamosi katika viwanja vya Mlimani City, Dar es salaam ambapo pamoja na mambo mengine kutakuwa na usajili wa timu shiriki katika michuano hiyo. Kamati ya mashindano inazialika timu zote nchini kuja kujiandikisha ambapo umri wa wachezaji ni kuazia miaka 16 na kila timu itaruhusiwa kuwa na wachezaji 10.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava