Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Golikipa wa zamani wa Simba afariki mazoezini

Jumatatu , 13th Mei , 2019

Mchezaji wa timu ya Transit Camp ya Daraja la Kwanza Ahmad Waziri, amefariki ghafla  asubuhi ya leo baada ya kudondoka akiwa anatoka mazoezini na wenzake kwenye Kambi ya Twalipo, Kurasini Jijini Dar es Salaam. 

Ahmad Waziri alipokuwa akiitumikia Simba.

Kocha wa Transit Camp Nevi Kanza, ameeleza kuwa Ahmad, amefanya mazoezi ya leo asubuhi na wenzake  lakini wakiwa wanaelekea kupanda daladala maeneo ya Uhasibu aliteleza na kuangukia jiwe na alipokimbizwa hospitali alikuwa tayari aemshafariki.

''Tumefanya mazeozi vizuri lakini wakati tumemaliza tunaondoka pale uwanjani aliteleza akaangukia jiwe wakati ambao alikuwa kama anafunga kamba za viatu wenzake wakachukua usafiri wa bajaji na kumkimbiza hospitali na alipofika ikabainika kuwa tayari ameshafariki'', amesema Kenza.

Ahmad amewahi pia kuzichezea Simba SC, African Lyon, Majimaji FC, Mlale JKT na JKT Tanzania na kwa kipindi  hiki alikuwa akiitumikia Transit Camp ambayo inajiandaa kwaajili ya mechi za ‘play-off’, ili kujinusuru kushuka daraja kwenye ligi daraja la kwanza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava