Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Goti lamponza Nadal

Jumanne , 14th Nov , 2017

Mchezaji tenisi namba moja duniani Rafael Nadal amemaliza vibaya msimu baada ya kutupwa nje ya fainali za dunia za ATP zinazoendelea jijini London Uingereza.

Mhispania huyo ameondolewa kwa kipigo cha seti 7-6 (7-5) 6-7 (4-7) 6-4 kutoka kwa David Goffin. Katika mchezo huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa 02 jijini London, Nadal alilazimika kucheza huku akiwa na maumivu ya goti.

Nadal aliumia goti kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Paris Masters wiki iliyopita hivyo akalazimika kujitoa ili aweze kutibiwa haraka akipigania kurejea mapema kucheza fainali za kufunga msimu huu za ATP jijini London.

Hata hivyo imekuwa ngumu kwa nyota huyo kuendelea na mashindano kutokana na kipigo hicho cha mechi yake ya ufunguzi kutoka kwa David Goffin ambaye ni raia wa Ubelgiji. Nadal amesisitiza kuwa hata kama angeshinda ilikuwa lazima ajitoe kutokana na kushindwa kuhimili maumivu ya goti.

Kuondolewa kwa Nadal kunatoa fursa kwa mkongwe Roger Federer kuisaka nafasi ya kuwa bingwa wa fainali hizo. Pamoja na kutolewa kwake lakini Nadal tayari ameshajihakikishia kumaliza msimu huu akiwa mchezaji namba moja duniani hata kama mpinzani wake mkubwa Roger Federer atatwaa ubingwa wa ATP.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava