Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hamisa apooza machungu ya Manara

Jumapili , 14th Apr , 2019

Msemaji wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania, Haji Sunday Manara, amemshukuru mwanamitindo na msanii wa kizazi kipya nchini, Hamisa Mobetto kwa kufanikiwa kumpooza maumivu baada ya jana Simba kutolewa nje ya michuano ya mabingwa Afrika.

Hamisa Mobetto akiwa na Haji Manara

Simba jana walitolewa rasmi katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kukubali kichapo ugenini cha goli 4-1 dhidi ya TP Mazembe.

Manara ameeleza kwamba Hamisa ni walioamua kupooza machungu yake kwa kqwenda kutazama naye mechi nyumbani kwake hata kumfariji baada ya matokeo mabaya.

Manara ameongeza kwamba kwa kitendo alichokifanya mwanadada huyo anapaswa kufahamu kwamba anampenda sana na afahamu kuwa ana thamani kubwa kwake.

Mbali na hayo Manara ameongeza kwamba, "Tumetolewa lakini tumeacha alama, tusijilaumu bali kwa hatua hii tujipongeze na Inshaallah Mwakani tutarudi kwa nguvu kubwa Kwenye Ligi ya Mabingwa"

"Sasa tunarudi kwa nguvu kubwa kuchukua ubingwa wetu wa Tanzania" amesisistiza

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto