Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hasira zetu zimetuponza- Kocha Evans

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba amefunguka na kudai sababu iliyopelekea mpaka timu yake kufungwa katika 'game 3' kwa pointi 87-82 ni kutokana na wachezaji wake kuhamaki baada ya kuchezewa faulu sana na wapinzani wao.

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba.

Mwaseba ameeleza hayo baada ya timu yake kuonekana kuzidiwa katika robo ya nne ya mchezo wa fainali uliyochezwa katika viunga vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam na kusababisha kuwaruhusu wapinzani wao waendelea kupachika mpira katika goli lao.

"Kilichosababisha tufungwe katika 'game 3' na Mchenga BBall Stars ni kutokana sisi kuhamaki kuanzia kwenye benchi la wachezaji mpaka wale waliyokuwa ndani wakicheza baada ya kuona wakichezewa faulo nyingi, lakini tunaenda kujipanga vizuri kuelekea mechi ijayo ya game 4 ili tuweze kufanya mashabulizi vizuri na tuweze kuziba mapungufu yaliyoweza kujitokeza katika mechi iliyopita", alisema Mwaseba.

Pamoja na hayo, TMT mpaka sasa imeweza kushinda mechi 1 na kufungwa 2 katika fainali hizi zinazoendelea huku mpinzani wake Mchenga BBall Stars akiwa ameshinda mechi 2 na kupoteza mechi 1.

Mshindi wa kwanza katika fainali za Sprite BBall Kings anatarajiwa kuondoka na kitita cha Milioni 10 huku mshindi wa pili kuondoka na Milioni 3 na kumaliziwa na mchezaji bora 'MVP' kupata Milioni 2.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava