Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya Cavani, ipo mikononi mwake

Jumatatu , 12th Apr , 2021

Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amemsifu mshambuliaji wake Edinson Cavani kwa kiwango bora alichoonyesha kwenye mchezo dhidi ya Tottenham na anaamini atamshawishi asalie klabu hapo, mkataba wa mshambuliaji huyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

Edinson Cavani

Cavani alifunga bao la pili kwenye ushindi wa mabao 3-1 walioupata Manchester United dhidi ya Spurs kwenye mchezo wa ligi kuu. Bao hilo lilikuwa la 8 msimu huu katika michezo 29, licha ya kukosa michezo kadhaa kutokana na majeruhi na adhabu ya kukosa michezo.

Baada ya mchezo huo kocha wa kikosi hicho Ole Gunnar Solskjær alisema Cavani ameonyesha kiwango bora sana, na wanasubiri taarifa zake kama atasalia au ataondoka, na akasisitiza kuwa wamefungua mazungumzo ya wazi juu ya kuongeza mkataba na hakuna siri kuwa wanahitaji asalie klabu hapo.

Mshambuliaji huyo raia wa Uruguay mwenye umri wa miaka 34, alijiunga na Man United mwanzo mwa msimu huu na mkataba wake na mashateni wekundu unamalizaika mwishoni mwa msimu huu lakini kuna kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi endapo kama pande zote mbili zikikubaliana, na Amekuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Boca Juniors ya Argentina.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto