Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatua ya 16 bora ya Bball Kings kuanza kesho

Ijumaa , 6th Jul , 2018

Katika mwendelezo wa michuano ya Kikapu ya Sprite Bball Kings ambayo ilianza kwa mechi za mtoano wikiendi iliyopita sasa inaingia kwenye hatua ya 16 bora kwa jumla ya mechi 8 kupigwa wikiendi hii.

Moja ya mechi za hatua ya mchujo zilizofanyika Jumamosi iliyopita.

Michuano hiyo ambayo inadhaminiwa na kinywaji cha Sprite, itaendelea kesho Julai 7 kwenye viwanja vya Airwing Ukonga ambapo mechi 4 zitafanyika kwenye uwanja huo kuanzia saa 2:00 Asubuhi.

Mechi 4 zitakazopigwa uwanjani hapo ni kati ya Fast Heat dhidi ya DMI, Mbezi Beach KKKT dhidi ya Portland, Flying Dribblers dhidi ya Ukonga Hitmen na Ukonga Warriors dhidi ya Team Kiza.

Mechi za Jumapili zitakazopigwa kwenye uwanja wa Bandari Kurasini ambazo pia zitaanza saa 2:00 Asubuhi ni ile ya Raptors dhidi ya Water Institute, Ukonga Warriors dhidi ya Team Kiza na Stylers dhidi ya Temeke Heroes huku mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars wakianza kutetea ubingwa wao dhidi ya Oysterbay.

Katika michezo hiyo ya kuwasaka wakali 8 watakaotinga hatua ya robo fainali haitakuwa na kiingilio hivyo mashabiki wa timu zote watapata nafasi ya kuhudhuria na kuzipa nguvu timu zao bila kulipa chochote. Pia timu nzima ya East Africa Television na East Africa Radio itakuwepo kutoa burudani mbalimbali ikiwemo mziki huku Sprite wao wakihusika na vinywaji.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu