Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Himid, Sure maingizo mapya Stars

Ijumaa , 20th Mei , 2022

Kikosi cha wachezaji 28 wanatarajiwa kuingia kambini Mei 28 kujiandaa na michezo ya kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) 2023 nchini Ivory Coast huku viungo Himid Mao kutoka klabu ya Ghazi Mahl-Misri na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ wa Yanga wakiwa ni miongoni mwa maingizo mapya Stars

Himid Mao kutoka klabu ya Ghazi Mahl-Misri na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ Yanga.

Stars inaingia rasmi kambini Mei 28 kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu AFCON dhidi ya Niger utakaopigwa nchini humo Juni 4 kisha watacheza na Algeria Juni 8 katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Wachezaji hawa awali hawakujumuishwa kwenye kikosi kilichocheza mechi ya za kirafiki za kalenda ya FIFA.

Akizungumzia kuitwa kwa wachezaji hao, kocha msaidizi wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’, Shadrack Nsajigwa amesema sababu ya kuitwa kwa wachezaji hao ni kutokana na viwango wanavyovionyesha kwenye klabu zao.

“Mao na yeye licha ya awali alikuwa haitwi safari hii tumemuita kwa sababu watu wetu wamemfuatilia anachokifanya na kulizika na uwezo wake,” amesema Nsajigwa

Wachezaji walioitwa ni Aishi Manula, Abuutwalib Mshery, Metacha Mnata, Shomari Kapombe, Kibwana Shomari, Haji Mnonga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala ‘ na Nickson Kibabage.

Wengine ni Bakari Mwamnyeto, Dickson Job, Kennedy Juma, Abdallah Kheri ‘Sebo’, Novatus Dismas na Mzamiru Yassin.

Wengine ni Aziz Andambwile, Himid Mao, Simon Msuva, Kelvin John, Mbwana Samatta, Farid Mussa na Abdul Suleiman.

Wengine ni Feisal Salum, Ben Starkie, Reliants Lusajo, Kibu Denis, George Mpole, Salum Abubakari ‘Sure Boy’ na Ibrahim Joshua.

 

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava