Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hizi ndio mechi 9 za maajabu Yanga

Jumapili , 20th Mei , 2018

Wawakilishi wa Kimataifa wa Tanzania klabu ya soka ya Yanga, imejikuta ikipitia nyakati ngumu uwanjani na nje ya uwanja kiasi cha nahodha Nadir Haroub, kukiri kuwa hakuna kipindi kigumu wachezaji wanapitia ndani ya klabu hiyo kama hiki.

Yanga ambayo ilianza vizuri msimu kwasasa imepoteza mwelekeo na hata matumaini ya kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi japokuwa ina mechi mbili nyuma ya Azam FC ambao wapo katika nafasi hiyo.

Tangu aondoke kocha George Lwandamina Yanga haijaonja ladha ya ushindi kwenye mechi 9 mfululizo si kwa michezo ya Ligi ya nyumbani bali hata kimataifa ambako inacheza hatua ya makundi ya Kombe la shirikisho.

Zifuatazo ni mechi 9 ambazo zimeweka rekodi na historia kwa klabu hiyo kukosa ushindi kwenye mecxhi nyingi mfululizo jambo ambalo miaka ya hivi karibuni halikuwepo.

April 11, 2018 Yanga ilitoka sare ya 1-1 na  Singida United, April 18, 2018, Yanga ikafungwa 1-0 na Walaita Dicha ugenini. April 22, 2018 ikatoka sare ya 1-1 na Mbeya City. April 29, 2018, Yanga ikafungwa 1-0 na Simba kabla ya Mei 6 kufungwa 4-0 na USM Alger.

Mei 10, 2018 Yanga ilifungwa 2-0 na Prison huku Mei 13 ikakubali kichapo cha 1-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar. Mei 16, Yanga ikatoka sare ya 0-0 na Rayon Sports. Jana Mei 19 ikakubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mwadui FC na kukamilisha mechi 10 bila ushindi.
 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu