Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Humud ajibu shutuma za kutongoza wake wa wachezaji

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Siku moja baada ya uongozi wa KMC kutangaza kuachana na kiungo wao Abdulhalim Humud kutokana na utovu wa nidhamu, nyota huyo ameibuka na kukanusha vikali tuhuma hizo.

Abdulhalim Humud

Mapema wiki hii uongozi wa KMC, kupitia kwa Kaimu Katibu Mkuu Walter Harrison ilitangaza rasmi kuachana na kiungo huyo kutokana na utovu wa nidhamu wakimtuhumu kuwalaghai/kutongoza wanawake wa wachezaji wenzake na kuleta mtafaruku mkubwa kabuni hapo.

Humud amesema suala hilo la yeye na wake wa wachezaji wenzake ni shutuma ambayo KMC wameamua kumtengenezea lakini sio kweli na wala hana tabia hiyo.

"Nilikuwa nje ya nchi na wakati nipo njiani narudi ndio nikakutana na shutuma hizo za uzushi ambazo uongozi wa KMC imenitengenezea," alisema.

Akizungumzia suala la kuvunja mkataba na klabu hiyo Humud amesema aliamua kuuandikia barua uongozi wake kuomba kuachwa kutokana na kukosa nafasi ya kucheza kwa muda mrefu na sio vinginevyo.

"Niliandika barua ya kuomba kuachwa baada ya kushauriana na watu wangu wa karibu lakini nilipata majibu ambayo hayakuwa mazuri kutoka kwa viongozi wangu," amesema. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine