Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huyu hapa mbadala wa Fraga Simba SC

Jumatano , 2nd Dec , 2020

Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Thaddeo Lwanga, akiwa ni mbadala wa Gerson Fraga ambaye anamajeruhi yatakayomuweka nje ya uwanja kwa msimu mzima.

Mchezaji mpya wa Simba SC Thaddeo Lwanga kulia, akitambulishwa na mwenyekiti wa klabu hiyo Mwina Kaduguda

Thaddeo raia wa Uganda mwenye umri wa miaka 26 anajiunga na klabu ya Simba akitokea katika klabu ya Tanta ya nchini Misri.

Taarifa ya usajili ya mchezaji huyo iliyotolewa na klabu ya Simba SC haijaweka wazi kiungo huyo amesaini mkataba wa muda gani.

Kiungo huyo wa zamani wa vilabu vya Express FC, SCV Kampala, na Vipers FC za nchini Uganda, anajiunga na Simba SC ikiwa ni siku chache tangu Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba Mohamed Dewji kuweka wazi kuwa watasajili kiungo mkabaji atakae ziba nafasi ya Gerson Fraga mwenye majeruhi yatakayomuweka nje ya uwanja msimu mzima.

Fraga raia wa Brazil alipata majeruhi ya goti kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara kati ya Simba na Biashara United mchezo ambao Simba walishinda kwa mabao 4-0.

Thadeo Lwanga ni mchezaji wa timu ya taifa ya Uganda (The Cranes) tangu mwaka 2015 na ameshaichezea jumla ya michezo 19.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu