Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jose Mourinho ashinda kombe la 5, Ulaya

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Jose Mourinho ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza barani ulaya kushinda makombe 3 tofauti ya vilabu barani ulaya baada ya kukiongoza kikosi cha AS Roma kutwaa ubingwa wa michuano ya Europe Conference League jana usiku.

Jose Mourinho akibusu kombe la Conference League

AS Roma chini ya Jose Mourinho wametwaa ubingwa wa Connference na kombe lao la kwanza kwenye michuano ya vilabu Ulaya kwa kuinyuka Feyenoord ya Uholanza kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali, bao pekee la mchezo huo limefungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya 32.

Ubingwa huu umemfanya Mourinho kufikisha idadi ya makombe 5 ya vilabu barani ulaya aliyoshinda kama kocha. ameshinda ubingwa wa Klabu Bingwa (Uefa Champions League) mara 2 akiwa na FC Porto mwaka 2004, na Inter Milan 2010, pia ameshinda ubingwa wa Michuano ya UEFA Europa League mara mbili akiwa na FC Porto mwaka 2003 na 2017 akiwa na Manchester United. Hivyo ubingwa wa usiku wa jana ni wa 5 katika michuano 3 tofauti.

Mourinho pia hajapoteza mchezo hata mmoja wa fainali aliocheza kwenye michuano ya vilabu barani Ulaya katika fainali zote 5 alizocheza ameshinda zote. Na kombe hili ni la 26 kwa kocha huyo raia wa Ureno katika miaka yake 19 ya ukocha. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava