Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Kaseja kuipa KMC mtelezo kwa Yanga

Alhamisi , 12th Mar , 2020

Klabu ya KMC inatarajia kushuka dimbani leo dhidi ya mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.

Juma Kaseja

Kuelekea mchezo huo, Kaimu Mtendaji Mkuu wa klabu ya KMC, Walter Harrison amesema kuwa timu yake imejiandaa vizuri kutoa ushindani dhidi ya Yanga kutokana na kujiamini kwa wachezaji wake.

"Katika mechi mbili za mwisho timu yetu imepata matokeo, dhidi ya Mbao FC na JKT Tanzania, kwahiyo sasahivi wachezaji wanajiamini kuelekea mchezo wa leo", amesema Walter.

Kuhusu urejeo wa mlinda mlango Juma Kaseja, Walter Harrison amesema, "Kaseja bado yupo majeruhi lakini anakaribia kurudi langoni. Hajaanza mazoezi pamoja na timu, wiki za hivi karibuni atarejea rasmi lakini atakuwepo kwenye benchi la ufundi katika mechi zetu kutoa hamasa kwa wachezaji".

KMC ipo katika nafasi ya 18 ya msimamo wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 27 katika michezo 27 huku Yanga ikiwa katika nafasi ya tatu na pointi 50.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava