Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Luizio aukubali 'muziki' wa Yanga

Jumatatu , 9th Jan , 2017

Kuelekea mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar kati ya Simba na Yanga, mshambuliaji wa Simba Juma Luizio, amekubali makali ya kikosi cha Yanga na kusema kuwa kinaundwa na wachezaji wazuri.

Kikosi cha Yanga

Luizio ambaye amesajili Msimbazi kwa mkopo akitokea Zesco ya Zambia licha ywa kukubali uwezo wa wachezaji wa Yanga, amesema kuwa hakuna anayemuogopa, na kwamba yuko tayari kwa pambano la kesho na atahakikisha anapambana kuipa Simba ushindi.

"Yanga ina wachezaji wazuri sana, wachezaji wote ni wazuri, lakini hakuna ninayemuhofia" Alisema LUizio mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Simba na Jang'ombe Boys, ambapo Simba ilishinda 2-0.

Akiwa Zesco ya Zambia, Luizio alikuwa akinolewa na kocha wa Yanga kwa sasa, George Lwandamina.

Juma Luizio akiwa Zesco

Katika michuano hii Luizio amefungia Simba bao moja pekee, alilofunga katika mchezo dhidi ya Taifa Jang'ombe huku akijihakikishia nafasi ya kudumu katika kikosi cha kwanza. 

Mechi hiyo inapigwa kesho saa 2;15 usiku katika dimba la Amaan, visiwani Zanzibar

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava