Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Mahadhi aitaka Simba, balaa la Morrison

Alhamisi , 9th Jul , 2020

Winga wa klabu ya Yanga, Juma Mahadhi amesema kuwa ni faraja kwao kuona mchezaji Bernard Morrison anarejea katika kikosi chao kutokana na umuhimu wake.

Juma Mahadhi na Bernard Morrison

Akizungumzia suala la mgogoro wa Morrison na viongozi wa Yanga na urejeo wake, Mahadhi amesema kuwa mambo hayo ni ya kawaida hasa kwenye michezo lakini kikubwa ni furaha yao kumuona akirejea.

"Ni kawaida tu kwamba kuna mambo huwa yanatokea lakini kama viongozi wameamua kukaa na kuamua mambo yaendelee sawasawa ni kitu kizuri", amesema Mahadhi.

"Yaliyotokea ni mambo yake binafsi, sisi kurudi wkake tunamshukuru Mungu kwa sababu ni mchezaji muhimu na tunamtegemea uwanjani", ameongeza.

Kuelekea mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kupigwa wikiendi hii, Mahadhi amesema, "mechi itakuwa ni ngumu sana lakini sisi kwa upande wetu mechi tunaitaka na lazima tushinde kwa uwezo wa Mungu".

Mtazame zaidi hapa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava