Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juuko Murshid arejea kundini Msimabazi

Jumatatu , 27th Feb , 2017

Beki wa Kimataifa wa klabu ya Simba na timu ya taifa Uganda juuko Murshid amejiunga rasmi na kikosi chake cha Wekundu wa Msimbazi mara baada ya kukosekana kikosi hapo kwa zaidi ya miezi miwili.

Juuko Murshid

Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu'  ndiye aliyetoa taarifa hiyo ambapo amesema hadi sasa tayari juuko amejiunga na kikosi cha Simba, na atakuwa ni mmoja kati ya wachezaji watakaoingia kambini kesho au kesho kutwa kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Mbeya City.

"Tayari Juuko amerudi, amerejea kazini na sisi tumempokea, maana tunaelewa matatizo aliyokuwa amepata kibinadamu , kwa hiyo hatua ya kwanza ni kumpokea lakini kama kuna mengine yataamuliwa baadaye, yuko na kikosi na ataingia kambini pamoja na wachezaji wengine" - Amesema Kaburu

Awali mchezaji huyo aliondoka nchini kurudi Uganda mwishoni mwa baada ya kupata matatizo ya kufiwa na watoto wake mapacha muda mfupi baada ya kuzaliwa, kabla ya kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes' katika michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) iliyofanyika mwezi Januari nchini Gabon.

Mara baada ya michuano ile kumalizika, Juuko alitakiwa kujiunga na klabu yake ya Simba, lakini hakufanya hivyo hali iliyosababisha klabu hiyo kumtangaza kuwa ni mtoro kazini.

 

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto