Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juventus wajiridhisha na afya ya Ronaldo

Jumatatu , 16th Jul , 2018

Mabingwa wa soka wa Italia klabu ya Juventus imekamilisha rasmi usajili wa mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo kutokea Real Madrid baada ya kufuzu vipimo vya afya vilivyofanyika leo makao makuu ya klabu mjini Turin.

Cristiano Ronaldo wakati akifanyiwa vipimo vya afya.

Ronaldo mwenye miaka 33, amesaini mkataba wa miaka minne baada ya kukamilisha vipimo vya afya na atatambulishwa kwenye uwanja wa Juventus maarufu kama Allianz baadae jioni. Juventus sasa itailipa Real Madrid kiasi cha £105 milioni ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 317.

Katika maisha yake ya soka la ushindani, Ronaldo atakuwa anaanza maisha mapya kwa mara ya tatu baada ya ile ya kwanza akitoka Sporting CP ya nyumbani kwao Ureno ambayo aliichezea katika miaka ya 2002 na 2003 na kutua Manchester United.

Baada ya kuichezea Manchesteer United kwa miaka 6 Ronaldo aliamua kwenda kuanza maisha mapya kwenye klabu ya Real Madrid ya Hispania mwaka  2009, ambayo ameichezea kwa miaka 9 na sasa anaanza maisha mapya ndani ya Juventus.

Ripoti kutoka vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa tayari bodi ya wakurugenzi ya Juventus imeshapitisha wazo la kujenga sanamu ya Ronaldo nje ya uwanja wa Allianz lakini bado haijalipeleka kwa wawakilishi wa mashabiki ili nao watoe mtazamo wao.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA