Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli tatu tata za Yanga kuhusu safari ya Zahera

Jumanne , 18th Dec , 2018

Baada ya hapo jana kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kuondoka nchini kuelekea Ufaransa, maelezo ya safari yake yamegubikwa na utata mtupu baada ya viongozi pamoja na yeye mwenyewe Zahera kutofautiana katika maelezo yao.

Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika na kocha Mwinyi Zahera

Kwa mujibu wa Mwinyi Zahera, yeye amesema ameenda kusaini nyaraka zinazohusiana na biashara zake hivyo atakaa hadi Desemba 25 na atarudi Dar es salaam Desemba 26 asubuhi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika, yeye amesema Kocha Mwinyi Zahera amekwenda Ufaransa kwa ajili ya kushughulikia kesi ya mkewe ambayo hakufafanua inahusu nini.

Mapema jana Desemba 17, 2018 asubuhi, msemaji wa Yanga, Dismas Ten, alisema Kocha Zahera ameenda Ufaransa kwa ajili ya matibabu ambayo yanaratibiwa na chama cha soka nchini DR Congo.

Kabla ya safari yake kocha Mwinyi Zahera alieleza kuangushwa kwake na viongozi wa Yanga hususani kamati ya usajili baada ya kushindwa kukamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambao alipendekeza waongezwe kikosini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava