Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Yanga baada ya kuwasimamisha viongozi

Jumapili , 29th Mar , 2020

Uongozi wa klabu ya Yanga umezungumza kufuatia barua rasmi ya kuwasimamisha baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji iliyotolewa Machi 27, 2020.

Makao Makuu ya Yanga

Kupitia kwa Afisa Habari wake, Hassan Bumbuli, Yanga imesema kuwa ni kweli kilichotokea kimeiathiri klabu na itatikisika lakini kila kitu kitakuwa sawa.

"Huu ni mtikisiko lakini ni kawaida kwa timu ya Wananchi kutokea kila kitu kitakuwa sawa na mipango inaendelea", amesema Bumbuli.

"Nadhani barua rasmi ilishatolewa na Kamati ya Utendaji, kwangu imepitia ili kuwafahamisha wanachama na mashabiki, kuhusu maelezo ya kwanini wamesimamishwa na kilichozandikwa kwenye barua ya majibu kwa GSM kamati ndiyo inafahamu", ameongeza.

Yanga iliwasimamisha viongozi wawili ndani ya klabu hiyo ambao ni Salim Rupia na Frank Kamugisha pamoja na kuridhia kujkiuzulu kwa wajumbe watatu ambao ni Rogers Gumbo, Shija Richard na Said Kambi.

Katika hatua nyingine, Kamati ya Utendaji ya Yanga iliandika barua ya majibu kwa kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa klabu hiyo, kufuatia kujitoa kuisaidia klabu kwenye masuala mbalimbali nje ya makubaliano ya kimkataba ikilalamikia kuwa baadhi ya viongozi wa klabu hawaridhishwi na jinsi wanavyofanya kazi za kiuongozi.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava