Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikwete awageukia viongozi wa soka

Jumatatu , 19th Mar , 2018

Baada ya timu za Simba na Yanga kutolewa kweney michuano ya kimataifa ngazi ya vilabu barani Afrika, Mbunge wa Chalinze (CCM) Ridhiwani Kikwete amewataka viongozi wa vilabu hivyo kujitathmini.

Mbali na viongozi wa vilabu vya Simba na Yanga,  Ridhiwani pia ameoneshwa kushangazwa na mashabiki wa soka nchini kwa namna ambavyo wanazisifu timu hizo kwa kutoa suluhu ugenini na kushindwa kupata matokeo viwanja vya nyumbani.

Yanga imetolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na Township Rollers ya Botswana baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 jijini Dar es salaam na kisha jumamosi iliyopita kutoa suluhu ugenini hivyo kutupwa nje ya michuano.

Simba wenyewe wameondolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika na klabu ya Al Masry ya Misri baada ya kutoa sare ya mabao 2-2 jijini Dar es salaam kabla ya jumamosi usiku kutoa suluhu na kutolewa kwa sheria ya bao la ugenini.

''Magazeti yetu na washabiki wetu wanavyozisifia timu zao kwa matokeo ya Jana unaweza sema wameshinda. UJINGA MTUPU yaani NAWASHANGAA SANA.kwa sifa zipi hizo Suluhu za Ugenini na Kushindwa kutumia Viwanja vya Nyumbani. AIBU KWENU Viongozi wa Mpira.Jipangeni Vizuri Mashindani ni Kushinda'', ameandika.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto