Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilimanjaro Stars yalizwa

Alhamisi , 7th Dec , 2017

Kilimanjaro Stars imeshindwa kutamba dhidi ya ndugu zao Zanzibar Heroes baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 katika uwanja wa Kenyatta uliopo eneo la Machakos Kenya.

Kilimanjaro Stars imeanza kupata goli dakika ya 28 lililofungwa na Nahodha wa timu hiyo Himid Mao, baada ya gonga nzuri na Dany Lyanga .

Goli la Himid Mao limedumu hadi kipindi cha kwanza kinaisha, kilipoanza kipindi cha pili dakika ya 66  "super sub" Kassim Hamis amepata goli la kusawazisha, wakati goli la ushindi lilifungwa dakika ya 78 na Ibrahim Ahmada aliyepokea pasi safi kutoka kwa Suleiman Selembe.

Baada ya mchezo huo mchezaji bora wa mechi  Ibrahimu Ahmad  amekisifu kikosi chake cha Zanzibar Heroes huku akimsifia kocha wake Hemed Morocco kwa kuwahamasisha.

'Mwalimu ametuhamasisha na alitueleza kabisa kuwa tutashinda mchezo huu, kweli tumefanya hivyo, mabadiliko aliyoyafanya yameleta alama tatu leo", amesema Ibrahim Ahmd.

Zanzibar wamefikisha alama 6 ikiwa kileleni mwa kundi "A" ikifuatiwa na wenyeji Kenya, Zanzibar inaogoza kwa wingi wa magoli.

Katika kundi hilo imebakia michezo miwili  Kilimanjaro Stars inatakiwa ishinde   michezo yote ili kujiweka vizuri katika hatua inayofuata.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu