Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KMC yawajibu Stand United

Jumatano , 11th Jul , 2018

Klabu ya manispaa ya Kinondoni (KMC), imejibu tuhuma dhidi yao ya kumsajili mchezaji Ally Ally kutoka Stand United wakati akiwa na mkataba wa miaka miwili na klabu yake.

KMC kupitia kwa mkurugenzi wake, Walter Urio imesema kuwa wamemsajili Ally Ally baada ya kujiridhisha kuwa yuko huru, alipovunja mkataba na klabu yake na ushahidi wanao huku wakiitaka Stand United ilete ushahidi wao mezani watawajibu.

“Sisi tumemsajili Ally Ally baada ya kujiridhisha kuwa yuko huru, alivunja mkataba na Stand United baada ya kudai malimbikizo ya mshahara wake wa miezi minne na ushahidi wa nakala ya barua ya kuvunja mkataba ipo SPUTANZA na TFF kwahiyo wao kama bado wanadai ni mchezaji wao basi wapeleke ushahidi TFF “. Amesema Urio.

Stand United kupitia kwa mwenyekiti wa kamati ya usajili, Mbasha Matutu ulionesha kusikitishwa juu ya usajili huo kwani hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kuondoka kwake Shinyanga kuja Dar es salaam na kusaini KMC.

Matutu pia amekana tuhuma za kushindwa kumlipa mshahara wa miezi minne mchezaji huyo kuwa ni sababu iliyopelekea kuvunja mkataba naye huku akisisitiza kuwa wao walikuwa wakimlipa mshahara wake kila mwezi kama kawaida na hawana deni lolote kwake.

Ally Ally amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya KMC ambayo imepanda kucheza ligi kuu Tanzania Bara kuanzia msimu ujao wa 2018/19.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine