Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha Pablo awaangukia Mashabiki Simba SC

Jumatano , 24th Nov , 2021

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Mhispania Franco Pablo Martin amesema anawashukuru sana mashabiki wa Simba kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo uliopita lakini anawaomba waje kwa wingi kwenye mchezo ujao.

(Kocha Mkuu wa SImba SC, Pabo Franco Martin akiwa mazoezini)

Pablo amesema: “Nawashukuru sana mashabiki waliojitokeza kwa wingi sana kule Mwanza, naamini watakuja kunikaribisha kwa wingi Jumapili wakiwa na jezi nyekundu uwanja mzima,” amesema Kocha Pablo.

Akizungumzia mchezo wenyewe dhidi ya Red Arrows, Pablo utakaochezwa Novemba 28, 2021 amesema utakuwa mgumu na tunapaswa kucheza kwa kujitoa asilimia 100 katika muda wote wa dakika 90 ili kupata ushindi nyumbani.

“Mechi itakuwa ngumu, tupo nyumbani inatupasa kujituma kwa asilimia 100 muda wote wa mchezo ili tupate ushindi. Maandalizi yanaendelea vizuri na matarajio yetu ni kupata ushindi,” amesema Pablo.

Kama Simba ikifanikiwa kupata ushindi kwenye mchezo huo basi watalazimika kwenda kucheza ugenini na kuulinda ushindi huo ili watinge hatua ya makundi y michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava