Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Taifa Stars alizwa na uzushi

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) Salum Mayanga, ameeleza kusikitishwa na taarifa zinazosambaa kuwa hajachagua mwenyewe kikosi cha timu hiyo kwaajili ya mechi za kirafiki bali amechaguliwa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka Tanzania TFF imeeleza kuwa Mayanga hajafurahishwa na taarifa hizo za uzushi kwani yeye anafanya kazi kwa mujibu wa taratibu za kazi yake hivyo hawezi kuchaguliwa timu.

''Watu waache kupotosha umma, mimi ndio nimechagua kikosi chote kilichosafiri kwenda Algeria na si vinginevyo, kocha Ahmed Morocco nilimwachia jukumu la kutangaza kikosi tu baada ya uteuzi'', amesema Mayanga.

Taarifa hizo zilianza kusambaa usiku wa Machi 22 baada ya Taifa Stars kuchapwa mabao 4-1 na Algeria ugenini, kwenye mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA kwa mwezi Machi.

Taifa Stars inatarajia kumaliza mechi zake za kirafiki Jumanne ijayo Machi 27 itakapowakaribisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam. Tayari viingilio vya mchezo huo vimewekwa wazi ambapo kiingilio cha chini ni shilingi 1,000.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava