Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Taifa Stars azungumzia figisu Cape Verde

Alhamisi , 11th Oct , 2018

Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars'  Hemed Morocco, amesema wamepokelewa vizuri na hakuna figisu zozote walizofanyiwa mpaka sasa kwenye kambi yao huko nchini Cape Verde.

Wachezaji wa Taifa Stars wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Estádio da Várzea.

Morocco amebainisha kuwa walipofika jana mchana wakapewa huduma na maelekezo yote ikiwemo uwanja wa kufanyia mazoezi ambao kwa mujibu wa taratibu za FIFA utakiwa kuwa uwanja ambao utachezewa mchezo husika na wao wamefanyiwa hivyo.

''Kiukweli hakuna figisu tangu tulipofika jana, tumepewa uwnja wa taifa ambao tutachezea mechi na ndio tumefanyia mazoezi ya jana jioni, kitu ambacho ni kizuri kwetu kuelekea mchezo huu wa muhimu'', amesema.

Mbali na hilo Morocco ambaye pia ni kocha mkuu wa Singida United amesema wachezaji wote wapo vizuri na wana ari ya mchezo wakionesha ushindani mkubwa kwenye mazoezi.

Kila mchezaji anajituma sana kwenye mazoezi, ushindani ni mkubwa kila mmoja anaonesha uwezo wake ili kujaribu kuona kama wanaweza kupata nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza hicho ndio kitu kikubwa tunachojivunia sisi kama walimu.

Taifa Stars na Cape Verde zitacheza mchezo wa kundi L kuwania kufuzu AFCON 2019, kesho Oktoba 12, 2018 kabla ya kurejeana Jumanne Oktoba 16, 2018.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine