Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Kuna watu walianza kuomba Taifa Stars ifungwe''

Alhamisi , 4th Jul , 2019

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, amewataka watanzania kuacha makundi na kuwa pamoja kwenye nyakati zote hususani mambo ya kitaifa, kama ushindi wa Taifa Stars ambao sio wa Makonda peke yake.

Paul Makonda akiwa na kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike.

Makonda ameyasema hayo kwenye mapokezi ya Taifa Stars kwenye uwanja wa ndege wa JK Nyerere, ambapo ameeleza kuwa timu hiyo inahitaji pongezi na kujipanga kwaajili ya michuano mingine kama CHAN.

''Ilifika wakati watu wakawa wanaona kama hii ni timu ya Makonda na kuomba pengine ifungwe, lakini ikishinda inakuwa ni timu ya taifa, naomba tuache hiyo tabia tuwe tunaitumia taifa Stars kuwa wamoja na kuwajenga wachezaji wetu'', amesema.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameeleza kuwa anazo taarifa amezibaini kule nchini Misri kuwa kuna taasisi ilichangisha fedha kwaajili ya Taifa Stars lakini haikuziwakilisha na badala yake wao wakazitumia kwenda kufanya starehe Misri.

''Wanajijua niwaombe tu kama ambavyo akaunti imetangazwa na Waziri wa Michezo wazifikishe huko au wazipeleke Baraza la Michezo (BMT), haiwezekani wachezaji hawapati morali kwa posho nzuri, hatutaelewana kwakweli'', ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali