Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kwa Tanzania, Simba ni Alpha na Omega" - Manara

Jumatano , 20th Feb , 2019

Baada ya kumalizika kwa mchezo wa jana, Jumanne wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya African Lyon na Simba, Kocha wa African Lyon, Suleyman Jabir amesema kuwa Simba ilibebwa kupata matokeo.

Kikosi cha Simba

Katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, imeshuhudiwa Simba ikiitandika African Lyon kwa mabao 3-0, ambapo baada ya kocha Jabir kulalamikia maamuzi ya uwanjani, Afisa Habari wa Simba, Haji Manara akaibuka na kujibu tuhuma hizo.

Manara amesema, "hayo maneno ya kubebwa ni ya kawaida, hata Yanga walisema, kila timu inasema, basi tufanye kila timu iwe inakuja na makocha wake na madaktari wake ndio wawe waamuzi kwasababu hizi lugha za kihuni".

"Tatizo la watu wanaaminishana mambo ya kubebwa bebwa, Simba ina uwezo wa kimpira kuliko klabu yoyote Tanzania kwahiyo yoyote atakayekuja ataona anaonewa tu. Kwa 'level' ya Tanzania sisi ni Alpha na Omega", ameongeza Manara.

Baada ya mchezo huo sasa Simba inarejea Jijini Dar es salaam kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya 'Wana lambalamba' Azam FC utakaopigwa Ijumaa, Februari 22.
 

Tazama hapa chini wakijibizana kuhusu tuhuma hizo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava