Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lewandowski kuifikia rekodi ya Ronaldo?

Jumapili , 9th Aug , 2020

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski amefikisha mabao 13 kwenye michuano ya klabu bingwa ulaya baada ya kuifungia timu yake mabao mawili kwenye ushindi wa 4-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana. 

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski

Lewandowski amebakiza mabao 4 kufikia rekodi iliyowekwa na Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao mengi ndani ya msimu mmoja kwenye historia ya michuano hii ambayo aliiweka msimu wa 2013-14 kwa kufunga mabao 17. Lakini pia mabao hayo mawili dhidi ya Chelsea yamemfanya Lewandowski asogee mpaka nafasi ya 4 kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote wa michuano hii kwa kufikisha mabao 66.

Bado Lewandowski ana nafasi ya kufunga zaidi kwani kikosi cha Bayern Munich kimetinga hatua ya Robo Fainali baada ya kuiondoa Chelsea kwa ushindi wa jumla wa mabao 7-1 na wataminyana na FC Barcelona katika hatua ya Robo Fainali. 

Endapo Bayern watafanikiwa kutinga hatua ya fainali basi mshambuliaji huyo wakimataifa wa Poland atacheza  michezo mitatu zaidi na atajiongezea nafasi ya kufikia au kuvunja kabisa rekodi ya CR7.

Msimu huu wa 2019-20 umekuwa bora sana kwa Lewandowski mpaka sasa kafunga jumla ya mabao 53 katika michezo 44 kwenye michuano yote na akiwa amefunga mabao hayo kwenye michezo 36 kati ya 44 aliyocheza. Pia ndio kinara wa ufungaji msimu huu kwenye michuano hiyo ya ulaya na bao zake 13.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava