Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Luc Eymael amtaja Niyonzima ni tatizo Yanga

Jumapili , 16th Feb , 2020

Kocha wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kutokuwepo kwa kiungo wake muhimu Haruna Niyonzima ndiyo sababu kubwa iliyopelekea kutopata matokeo katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons jana Jumapili.

Kocha Luc Eymael na Haruna Niyonzima

Eymael amesema hayo akizungumza na wanahabari baada ya kumalizika kwa mchezo huo, ambapo amesema kuwa wanapaswa kujilaumu wenyewe kutoshinda mchezo kutokana na kushindwa kutumia nafasi.

"Tulipata nafasi mbili tatu tukashindwa kuzitumia pamoja na penalti ya Morrison ambayo pia alikosa. Mwamuzi wa pembeni alifanya uamuzi wa haki kumshauri mwamuzi wa kati kuwa ni penalti, kwahiyo nampongeza kwa hilo wala sina tatizo naye, ila tatizo lilikuwa kwetu wenyewe", amesema Eymael.

"Katika kiungo tulimkosa Haruna Niyonzima ambaye ndiye anaichezesha timu baada ya kuugua Malaria lakini Alfajiri tutasafiri naye kuwafuata Polisi Tanzania. Niyonzima ana utulivu, ana akili na jicho la mpira awapo uwanjani na hicho ni kitu muhimu sana kwa mchezaji", ameongeza.

Baada ya matokeo hayo sasa Yanga inafikisha pointi 39 katina nafasi ya tatu huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Azam FC ambayo imepoteza kwa kufungwa mabao 2-1 na Coastal Union na kusalia na alama zao 44, wakati huo huo Simba ikiwa kileleni kwa pointi 56 baada ya jana kuifunga Lipuli FC bao 1-0 mjini Iringa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava