Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya TFF kuhusu uteuzi wa waamuzi

Jumatatu , 11th Feb , 2019

Shirikisho la soka nchini (TFF), limetangaza viingilio vya mchezo wa watani wa Jadi Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Jumamosi Februari 16, 2018 kwenye uwanja wa taifa Dar es salaam.

Wachezaji wa Simba na Yanga

Msemaji wa TFF Cliford Ndimbo amesema viingilio vitakuwa 30,000 VIP A, 20,000 VIP B na C  pamoja na 7,000 kwa jukwaa la mzunguko.

Aidha amebainisha kuwa mchezo huo utapigwa jioni saa 11:00 na maandalizi yote ikiwemo suala la usalama yanaendelea vizuri hivyo mashabiki waende uwanjani tu wakatazame timu zao.

Kuhusu waamuzi watakaochezesha mchezo huo Ndimbo amesema kamati ya waamuzi itawatangaza hivi karibuni huku akipinga vikali uwepo wa hisia kuwa upangaji wa waamuzi hao umekuwa ukifanya kwa usiri.

''Niseme tu kwamba waamuzi wote hupangwa mara moja na kamati husika na sio kwamba waamuzi wa Yanga na Simba wanapangwa kwa upekee au usiri, hakuna siri yoyote na kamati ikitoa taarifa nitaituma au tutaitisha mkutano na wanahabari'', amesema.

Timu hizo zinaingia uwanjani Jumamosi zikiwa na tofauti ya pointi 22 ambapo Yanga wanaongoza ligi wakiwa na pointi 58 kileleni wakati Simba wana pointi 36 katika nafasi ya tatu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu