Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makapteni watunishiana misuli

Jumatano , 30th Aug , 2017

Ikiwa zimebakia siku mbili vumbi kutimka katika michuano ya Sprite BBall Kings hatua ya mwisho ya fainali, manahodha wa timu shiriki wameanza kutunishiana misuli kwa kila mmoja kujivutia kwake kuwa atakinyakuwa kikombe cha mashindano hayo.

Akizungumza nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud amesema wamejifua vizuri katika kuelekea mechi hiyo huku akidai 'game' hiyo itakuwa yenye ushindani mkubwa kwa kuwa kila mmoja amejipanga kupata matokeo yaliyokuwa mazuri.

"Nina imani mechi ijayo (game 5) ya fainali za Sprite BBall Kings itakuwa nzuri kwa sababu timu yetu imejiandaa vizuri. Safari hii tutakuja tofauti kwa kuwa tunapitia 'step' zote tulizozipitia katika michuano hii",alisema Masoud.

Kwa upande wake nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohamed Yusuph 'Muddy' amesema timu yake imejiandaa vizuri katika kupambana na wapinzani wao huku akijitapa kwa kuwataka mashabiki zao wajitokeze kwa wingi kushuhudia wanavyo kibeba kikombe chao.

"TMT wamechelewesha ubingwa tu ila sisi nafasi yetu iko pale pale katika kukinyakua kikombe. Tunawalika mashabiki wetu wote waje kwa wingi kushuhudia 'basketball inavyochezwa na Mchenga kwa kuwa tumejipanga kuchukua ubingwa asubuhi kweupee", alisema Muddy.

Mchenga BBall Stars na TMT wanakutana tena kwa mara ya mwisho Septemba 2 mwaka huu katika mechi ya mwisho ya fainali za Sprite BBall Kings 'game 5' zitazopigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam ambapo mechi hiyo ndiyo itakayoweza kumtambulisha mshindi rasmi wa michuano ya Sprite BBall Kings kwa mwaka 2017.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava