Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara aendelea 'kuota' ubingwa Msimbazi

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Msemaji wa Klabu ya Simba aliyefungiwa na TFF, Haji Manara amefunguka mengine mapya kwa kudai bado hajakubaliana na ubingwa wa ligi kuu Tanzania walioutwaa Yanga SC na kudai kuwa wao (Simba SC) ndiyo mabingwa wa ligi hiyo msimu huu.

Haji Manara

Manara amebainisha hayo kupitia mitandao ya kijamii kwa kurusha vijembe kwa wapinzani wao wa jadi na kudai kwamba kama Serengeti Boys waliweza kushinda rufaa yao na kuweza kushiriki michuano ya vijana huko nchini Gabon basi nao watashinda bila shika.

"Wabongo bana kwa 'double standard' hawajambo, Serengeti Boys walikuwa Gabon kwa kushinda rufaa ila Simba hawastahili....Mjiandae kiakili Gongowazi, Simba ndiyo 'champion' msimu huu". Ameandika Manara

Tayari Simba imewasilisha malalamiko yao kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wakipinga kupokwa pointi 3 na TFF baada ya kupewa na bodi ya ligi kutokana na Kagera Sugar kumtumia mchezaji asiyestahili katika mechi dhidi yao, ambapo Kagera Sugar ilipata ushindi wa mabao 2-1.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava