Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara aingilia kati usajili wa kocha Yanga

Jumatatu , 30th Dec , 2019

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara hajauacha salama mchakato wa kumpata kocha mpya unaoendelea ndani ya klabu ya Yanga.

Haji Manara (kushoto), Hersi Said akiwa na kocha wa zamani wa Hispania Vicente del Bosque

Yanga inamsaka kocha mpya atakayerithi mikoba ya kocha Mwinyi Zahera ambaye aliachana na klabu hiyo mwanzoni mwa mwezi Novemba, 2019, ambapo hivi sasa timu ipo chini ya kocha Charles Boniface Mkwasa.

Manara ametupa vijembe kwa mahasimu wake kutokana na picha ambazo zinasambaa mtandaoni zikimuonesha Meneja Masoko wa GSM ambao ni wadhamini wa klabu hiyo akiwa na baadhi ya watu maarufu duniani wakiwemo makocha.

Picha hizo zinahusishwa na mchakato wa Yanga kumtafuta kocha mpya, mchakato huo ukifanywa na wadhamini hao ambao ndio watengenezaji wa jezi za Yanga lakini pia wakifanikisha sajili mbalimbali za dirisha dogo ndani ya klabu

Hayo yanajiri huku homa ya pambano la mahasimu wa jadi, Simba na Yanga ikizidi kupanda, zikiwa zimesalia siku tano kabla ya mchezo huo kupigwa katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii, Januari 4, 2020. Katika msimamo wa ligi, Simba inaongoza ikiwa na pointi 31 baada ya kushuka dimbani michezo 12 huku Yanga ikiwa katika nafasi ya tano baada ya kukusanya pointi 21 katika michezo 10.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto