Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara awaahidi Yanga, "naacha kazi wakituzidi"

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara ameahidi kuachia ngazi kwenye nafasi yake ndani ya klabu hiyo endapo mahasimu wao Yanga watawazidi kwa kujaza uwanja katika mechi zao.

Haji Manara

Ameyasema hayo katika mkutano na wanahabari Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa kadi mpya za wanachama na mashabiki ambazo zitatumia mfumo wa kibenki.

Manara amesema endapo Yanga wataizidi Simba kujza uwanja katika mchezo wake siku ya kilele cha 'Wiki ya Wananchi' Agosti 4 dhidi ya Kariobangi Sharks, basi yuko tayari kuacha kazi ya usemaji wa klabu hiyo.

"Nawasihi mashabiki wetu wanunue tiketi kwa wingi, hatuogopi siku sisi, Al-Ahly kafa Jumanne hapa na watu walifika elfu 60. Naomba muirekodi hii vizuri, ikitokea tumezidiwa idadi ya mashabiki na wenzetu, mimi naacha kazi Simba", amesema Manara.

Aidha Simba imetangaza viingilio katika mchezo huo, ambapo viti vya mzunguko ni Sh. 5,000, VIP B&C ni Sh 15,000, VIP A Sh 30,000, Platinum Sh 100,000 na Platinum Plus Sh 150,000.

Mtazame hapa akizungumza zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava