Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara aichana TFF

Jumapili , 13th Aug , 2017

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amempongeza Rais mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia huku akipiga dongo kwa kudai enzi za kubebana zimeisha na sasa ni wakati wa kupeleka soka mbele.

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara.

Manara amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Istragram masaa machache kupita tokea Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi mkuu wa (TFF), Revocatus Kuuli kumtangaza Wallace Karia kushinda nafasi hiyo kwa kura 95 kati ya 128 za wajumbe waliopiga kura kwenye uchaguzi huo, ambapo ataongoza kwa kipindi cha miaka minne kwa mujibu wa Katiba ya shirikisho hilo.

"Enzi za kubebana zimeisha TFF,na Simba hatutaki mbeleko tunataka haki, narudia haki. Hongera Wallace karia na Michael Wambura pelekeni soka mbele", ameandika Manara. 

Kwa upande mwingine, timu ya Simba leo inatarajiwa kushuka dimbani kukipiga na Kagera Sugar katika mechi yao ya kirafiki itakayofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava