Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wa Manchester City wamjia juu Guardiola

Ijumaa , 17th Sep , 2021

Mashabiki wa Manchester City wamemjia juu Kocha mkuu wa timu yao, Pep Guardialo baada ya kutoa kauli ya kuwahimiza wajitotekeze kwa wingi kwenye dimba la Etihad siku ya Jumamosi dhidi ya Southampton.

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola (chini kulia) aliyewashukia mashabiki kuwataka wajitokeze uwanjani kwa nguvu wakati Manchester City itakapocheza na Southampton saa 11:00 jioni.

Guardiola alieleza masikitiko yake juu ya uchache wa mashabiki katika mchezo ligi ya mabingwa barani Ulaya, kwenye ushindi wa 6-3 dhidi ya RB Leipizg  ambapo mashabiki 38,000 waliingia uwanjani kati ya viti 55,000 vilivyopo.

Mashabiki wa City kupitia, katibu mkuu wa kilabu rasmi cha wafuasi wa Mabingwa hao wa Uingereza, Kevin Parker anataka Guardiola azingatie zaidi mazingira, akisisitiza Mhispania huyo haelewi shida ambazo mashabiki wanakabiliwa nazo.

"Sina hakika kama anaelewa mambo jinsi yalivyo, Haelewi ugumu ambao watu wengine walipitia kufika Etihad siku ya Jumatano.'' kitendo hicho Kilimshangaza sana, Parker amesema.

"Wana watoto wa kufikiria, wanaweza wasiweze kumudu, bado kuna maswala kadhaa kuhusu UVIKO-19 . Sioni ni sababu kilichomsukuma kuzungumzia jambo hili'' Alisema Parker.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava