Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashali atwaa mkanda wa UBO

Jumapili , 30th Mar , 2014

Bondia Thomas Mashali ameshinda Pambano la kuwania ubingwa wa kimataifa wa UBO, dhidi ya bondia Japhet Kaseba kwa pointi baada ya kutambiana kwa muda mrefu, katika ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam hapo jana usiku.

Katika mpambano huo wa raundi 10 mabondia hao walionyesha uwezo mkubwa hasa Mashali ambaye alionekana katika raundi za 6 za awali kwamba angeibuka na ushindi wa Knock out lakini hali ikabadilika katika raundi ya 7 baada ya Kaseba naye kuzinduka na kumshambulia Mashali

Na baada ya hapo zikapigwa raundi tatu za mwisho ambazo hazikuwa na mabadiliko makubwa kwani mabondia hao walikua wakishambuliana kwa zamu na baada ya mpambano huo nilizungumza na Bondia Thomas Mashali ambaye awali alitamba kummaliza mpinzani wake katika raundi nne za awali

Naye Japhet Kaseba ambaye watu wengi hawakutegemea kumaliza raundi zote 10 katika mpambano huo amesema uzoefu wa mchezo huo ndio umemfanya asiibuke na ushindi kwani yeye awali alikua akicheza kick boxing na amekubali matokeo hayo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava