Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mazingira yalitutesa- Lwandamina

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Kocha Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, George Lwandamina amefunguka na kudai walilazimika kubadili mbinu za mchezo kutokana na hali ya mazingira kuwa tofauti na wao walivyozoea.

Kocha Mkuu wa Yanga mwenye uraia wa Zambia, George Lwandamina.

Lwandamina ameeleza hayo asubuhi ya leo kupitia ukurasa wao maalum wa klabu baada ya timu yake kutoka kifua mbele siku ya jana (Jumapili) kwa kuwachakaza Njombe Mji FC kwa bao 1-0 lililofungwa na mshambuliaji Ibrahim Ajib kwa kutumia mkwaju wa adhabu.

"Tulijua utakuwa mchezo mgumu, kipindi cha pili tulilazimika kubadili mbinu ili kukabiliana na mazingira. Nawashukuru wachezaji hakika walifanya kazi kubwa dakika zote 90 za mchezo", amesema Lwandamina.

Kwa upande mwingine, timu ya Mtibwa Sugar kwa sasa ndiyo ambayo inaongoza ligi kwa mujibu wa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa pointi sita, akifuatiwa na Simba SC kwa pointi nne, Tanzania Prisons alama nne.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava