Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MBEYA CITY KUKIPIGA NA VIPERZ YA UGANDA

Ijumaa , 12th Sep , 2014

Timu ya soka ya Mbeya city jumamosi hii inatarajia kucheza mchezo wa kimataifa wa kujipima nguvu dhidi ya timu ya Vipers Fc zamani bunamwanya inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Uganda mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya sokoine Mbeya.

Afisa habari wa Mbeya City Dismas Ten amesema kuwa kikosi hicho kinataraji kutua jijini Mbeya ijumaa ya kesho kikiwa na msafara wa watu 25 viongozi 5 na wachezaji 20.

Ten ameongeza kuwa timu hiyo ianataraji kuwa kipimo kizuri kwa timu ya Mbeya City kwani mmoja ya timu amabazo zimeonyesha uwezo mkubwa katika ligi ya Uganda na kufanikiwa kushika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu ya nchi hiyo.

Huu utakuwa mchezo wa mwisho wa kujipama nguvu kwa Mbeya City kabla kuanza mbilinge la ligi kuu ya soka Tanzania bara inayotaraji kuanza kutimua vumbi September 20 kwenye viwanja mbalimbali.

Mbeya city ambayo ilikamata nafasi ya tatu msimu uliopita kwenye ligi kuu ya soka Tanzania bara inaendelea na mawindo yake chini ya kocha mkuu Juma Mwambusi na msaidizi wake Suleiman Jabir

Afisa habari wa Mbeya City Dismas Ten amewaomba wakazi wa Mbeya kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo jumapili kuishuhudia timu yao pendwa ikionyesha kile ambacho imejipanga nacho kwa ajili ya ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto