Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbrazil ashangazwa na mashabiki wa Simba

Jumatano , 7th Aug , 2019

Kiungo mpya wa klabu ya Simba, Gerson Fraga Vieira ameelezea jinsi alivyoshangazwa na mashabiki wa klabu hiyo waliojitokeza katika mchezo wa Simba Day hapo jana.

Gerson Fraga Vieira akishangilia na Kagere

Akizungyumza mara baada ya mchezo kumalizika, Gerson ambaye alimudu vizuri nafasi ya kiungo amesema kuwa hakutarajia kukutana na wimbi kubwa la mashabiki wa namna ile ambao wanashangilia wakati wote klabu yao, huku akiwaahidi makubwa msimu huu.

"Ulikuwa ni usiku wa kipekee kwenye maisha yangu, najisikia furaha sana kwa sababu hali ilivyokuwa hapa uwanja wa Taifa ni nzuri sana. Ninaomba kila wakati nipate sapoti kama hii ya mashabiki ambayo ni ya ajabu sana", amesema Gerson.

"Mashabiki watarajie mazuri maana napenda kucheza mpira na napenda kujipa changamoto mwenyewe, napenda kupigania mpira na napenda kuwa na mpira wakati wote", ameongeza.

Tamasha hilo la Simba Day lilikamilika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Power Dynamos ya Zambia, huku mshambuliaji Meddie Kagere akifunga hat-trick. Mchezo unaofuata wikiendi hii,  Simba itacheza na UD Do Songo ya Msumbiji katika mchezo wa hatua ya kwanza kuwania kufuzu makundi ya Klabu Bingwa Afrika.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali