Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbwana Samatta ahoji kuhusu TP Mazembe

Jumatatu , 25th Nov , 2019

Mshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania pamoja na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, amehoji juu ya ubora wa klabu ya TP Mazembe pamoja na wachezaji wa Tanzania wanaocheza huko.

Mbwana Samatta akiwa TP Mazembe

Samatta ametumia ukura wake wa Twitter kuhoji hivyo akieleza kuwa haelewi tatizo liko wapi maana wachezaji wa Tanzania ambao wanacheza TP Mazembe hawazingatiwi.

''Ni TP mazembe imepungua ukubwa au wachezaji wetu wa kitanzania waliopo pale ndo sio wakubwa? naona kama hatuna habari nao ivi'', ameindika Samatta.

Wachezaji wa Tanzania wanaocheza TP Mazembe kwasasa ni Eliud Ambokile pamoja na Ramadhan Singano.

Akiwa TP Mazembe kwa takribani miaka mitano, Samatta alifanikiwa kuwa mshambuliaji hatari Afrika huku akiibuka mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Afrika na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ligi za ndani Afrika mwaka 2016.

Ramadhani Singano (kushoto) na Eliud Abokile (kulia)

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava