Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga, mabingwa wa Sprite Bball Kings 2019

Jumanne , 8th Oct , 2019

Michuano ya Sprite Bball Kings iliyoandaliwa na East Africa TV na East Africa Radio kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite imemalizika kwa Mchenga Bball Stars kuibuka mabingwa hii leo.

Mchezo wa tatu wa fainali ya Sprite Bball Kings 2019

Mchenga imeshinda ubingwa  baada ya kufanikiwa kushinda michezo mitatu ya fainali dhidi ya Tamaduni, ambapo katika mchezo wa tatu wa leo uliofanyika katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, Mchenga imeshinda kwa vikapu 115 dhidi ya 109 vya Tamaduni, huku Baraka Sadick akifunga pointi 52, rebounds 3 na assists 3.

Ubingwa huo ni wa tatu mfululizo kwa Mchenga Bball Stars tangu mashindano yalipoanzishwa mwaka 2017, na mchezaji Baraka Sadick ameshinda tuzo ya MVP wa mashindano kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kushinda msimu uliopita akiwa na timu hiyo.

Bingwa wa michuano (Mchenga Bball Stars) imejinyakulia kitita cha Shilingi milioni 10 za Kitanzania, mshindi wa pili (Tamaduni) akijinyakulia kitita cha Shilingi milioni 3 huku MVP (Baraka Sadick) akijishindia Shilingi milioni 2.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava