Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga watishia wapinzani wao, "tupo palepale"

Jumatatu , 26th Aug , 2019

Mabingwa watetezi wa michuano ya Sprite Bball Kings, Mchenga Bball Stars wameendeleza tambo zao mbele ya timu zingine kuelekea hatua ya 16 bora, itakayopigwa wikiendi hii.

Mabingwa watetezi, Mchenga Bball Stars

Akizungumza kwa niaba ya timu hiyo katika droo ya hatua ya 16 bora, iliyofanyika katika ofisi za EATV, nahodha wa Mchenga Bball Stars, Mohammed Yusuph amesema kuwa wao bado wapo vile vile na wana nafasi kubwa ya kutetea ubingwa kwa msimu wa tatu.

"'Basketball' ni mpira wa kucheza uwanjani na hauwezi kuwa bingwa bila kucheza na timu ngumu. Mashindano ni mazuri, watu wamesajili timu zao lakini bado Mchenga ana nafasi yake palepale", amesema nahodha wa timu hiyo maarufu kama 'Mudi'.

Naye kwa upande wake, mwakilishi wa timu ya Temeke Heroes, ambao ndiyo wapinzani wa Mchenga katika hatua ya 16 bora amesema kuwa walikuwa wakiomba tangu mwanzo wa mashindano wapangiwe na Mchenga ili wawatoe mapema na ndoto yao imeshatimia, kilichobakia ni kutimiza.

Hatua ya 16 bora inatarajia kufanyika Septemba 7 na Septemba 8 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, Jijini Dar es Salaam.

Mashindano haya yanafanyika kwa msimu wa tatu yakiandaliwa na East Africa TV na East Africa Radio kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite, ambapo mshindi wa mashindano atajishindia kitita cha takribani 10 milioni.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava