Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji akiri kumchukia Messi

Jumatatu , 13th Nov , 2017

Mshambuliaji wa zamani wa Argentina Gabriel Batistuta, amekiri kuwahi kuchukizwa na kitendo cha Messi kuvunja rekodi yake ya ufungaji wa mabao katika taifa hilo.

“Nilikasirika baada ya rekodi yangu ya mabao 54 kuvunjwa na Lionel Messi mwaka jana, lakini upande mwingine nilifurahi kwasababu ilivunjwa na mchezaji wa kiwango cha ajabu”, amesema Batistuta.

Batistuta ameongeza kuwa Messi ni mchezaji wa sayari nyingine lakini kitendo cha kuvunja rekodi yake kilimfanya ajisikie wivu kutokana na kwamba rekodi hiyo haikuwa imedumu sana.

Messi alivunja rekodi ya Batistuta ya mabao 54 kwenye timu ya taifa ya Argentina katika michuano ya Copa America Centenario mwaka jana ambapo hadi sasa ana jumla ya mabao 61 akiwa ndiye mfungaji bora wa muda wote.

Pamoja na hayo Batistuta amesema anajivunia kuwa mfungaji bora wa pili nyuma ya mchezaji ambaye si wa kiwango cha kawaida hivyo kwake ni kitu kizuri. Amemaliza kwa kusema sikuhizi watu hawaonyeshani tena kuwa yeye ndiye mfungaji bora wa Argentina.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava