Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Messi nje wiki mbili

Alhamisi , 23rd Sep , 2021

Mshambuliaji mpya kwa klabu ya PSG, Lionel Messi anatazamiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani wili mbili baada ya vipimo vya MRI kuonesha kuwa amepata mikwaruzi ndani ya goti lake la kushoto ambalo lilimfanya aanze kupata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Lyon wikiendi iliyopita.

Lionel Messi akionekana akishikilia goti lake la kushoto na kuugulia maumivu kwenye mchezo wa PSG dhidi ya Lyon ambao PSG ilishinda 2-1.

Kwenye mchezo huo, Kocha wa PSG, Mauricio Pochettino aliishuku afya ya nyota huyo na kuamua kumfanyia mabadiliko dakika ya 75 na nafasi yake ilichukuliwa na mlinzi wa kulia, Achraf Hakini kwenye mchezo ambao ulizua gumzo baada ya Messi kufanyiwamabadiliko.

Messi tayari ameukosa mchezo mmoja wa Ligi kuu ya Ufaransa dhidi ya Metz usiku wa kuamkia leo Septemba 2021kwa PSG kupata ushindi wa mabao 2-1 na kufikisha alama 21 kwenye michezo yake 7 na kuwa na ushindi wa asilimia mia moja.

Maumivu ya goti yanayomkumba Messi na kutazamiwa kumuweka nje kwa wiki mbili, yatamfanya akose mchezo wa Liguue w dhidi ya Montepelier na hata ule wa Manchester City kwenye Ligi ya mabingwa barani Ulaya utakaochezwa Septemba 28 mwaka huu.

Wakati Lionel Messi anaumia, kiungo Maeco Verratti na Mlinzi wa kati Sergio Ramos wameanza mazoezi ya kujiweka fiti zaidi ili ajitupe dimbani

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava